Wednesday, November 30, 2011

SIKU YA UKIMWI DUNIAN:KNOWING IS NOT DOING

Socrates kama mshauri mkubwa wa mambo ya hekima na busara Duniani, alikuwa mwepesi wa kutoa majibu ya matatizo sugu yaliyokuwa yakiisumbua Dunia enzi zake. Kwa mfano yeye anasema kabisa knowledge tu kwa mtu haitoshi na wala haiwezi kumsaidia kabisa endapo hataitrasnform katika uhalisia. Point ya huyu Mzee ni kwamba unaweza kuwa unafahamu mambo mengi sana ila bado ukaendelea kubaki kuwa mpumbavu. Hebu tuangalie kama ya huyu mbabu yanaukweli au vipi.Kipindi gonjwa la UKIMWI limeingia kijijini kwetu (Kibondo Kigoma) watu walisema ni gonjwa la mjini na waliokuwa wanakufa kweli walitoka mjini. Huko kwetu kipindi hicho kwenda mjini ilibidi uwe msomi au mfanyabiashara(Mwalimu ndo alikuwa msomi mkubwa akifatiwa na mwanajeshi). Hii ilipelekea nijiulize maswali mengi sana pasipokupata majibu. Mungu saidia shuleni nikafundishwa  kuwa gonjwa hili ni Upungufu wa Kinga Mwilini na halikuwa gonjwa la watu wa mjini tu.Karibu kila nyanja ya elimu likaanza kufundishwa kwa kasi sana. Nakumbuka kipindi namaliza kidato cha nne ndo moja ya maswali katika BIOLOGY nililojibu kwa kujiachia kabisa. Mpaka leo hii naongea sidhani kama kunamtanzania asiyejua undani wa gonjwa hili . We know a lot brothers and sisters about UKIMWI. Mtu usipokuwa na fikra pevu kama Socrates unaweza kushangaa kwa nini gonjwa la UKIMWI limesambaa sana hasa kwa wasomi wenye mpaka shahada za uzamifu ambao wanajua scientific courses and effects of HIV/AIDS?Jibu ni rahisi sana. Knowing is not doing.

Ngoja nikuchekkeshekidogo. Pale kwetu kibondo miaka ya 2000 kulikuwa na daktari bingwa wa upasuaji BUT alikuwa anafanya kazi hii nzuri ya kuokoa maisha ya watu baada ya kunywa GONGO na kulewa chakali na sigara mkononi. La ajabu ni huyuhuyu daktari alikuwa akija shuleni  na kutufundisha madhrara ya kunywa pombe na sigara katika afya ya binadamu. Alitwambia unapokunywa gongo na kuvuta sigara utauunguza mapafu. Mbona yeye alikuwa akivuta na kunywa? KNOWING IS NOT DOING.

Nachotaka kukwambia KUJUA ni kitu kimoja  na KUTENDA ni kitu kingine na kwa pamoja ndo humuumba MSOMI

5o years of independence: This is what I have to say (Part One)

Whether we like or not, 50 years of freedom and independence have found significant majority of Tanzanians wamepigika na kukata tamaa na maisha. You know what? About 41 percent of Tanzanians miss at least one meal every day. The situation is popularly known pasi ndefu among SAUT students. Apart from food intake, many of our children are stunted because of malnutrition. Health and life expectancy is generally lower. In cities, housing and basic services are worse. Education system produces many job seekers and not creators because students memorize without understanding and those few who are professionally talented are migrating out of the country. Decrease in investment by nationals in the country remains unrealized.

Fifty years of independence finds our Agriculture commonly known as backbone of the country in intensive care unit because people go hungry while we have every sort kind of fertile land. We are surrounded with water bodies but our agriculture remains a rain-fed. Turning on the personal security one finds a lot to be desired. Do you know what? Personal security is low and violent crimes are increasing: police seem unable to control it. Albino wanachinjwa kama kuku siku ya kipaimara, ndoa, krismasi na idd el fit.

Fifty years of independence some natural resources have become a curse to most of Tanzanians. People are raped, killed and others are infected with contaminated water from gold mining plants. Leaders don’t see anything wrong to sign crazy contracts for their personal benefits. The Whiteman thing is nobody’s business.

Fifty Years of independence the majority of Tanzanians suffer from Economy of Affection syndrome. Do you know why? Because of Economy of Affection we have so many leaders who are the results of kitu kidogo, kinywaji and t-shirts.

Fifty years of independence, where did we go wrong? Should we keep on arguing, “How Europe Underdeveloped Africa?” No. Should we crucify Nyerere who defined development in the context of land, good politics and people? I don’t know. But do you know the faults of baba wa Taifa? He ignored information and communication. Remember an adage information is power? Nobody can develop if he has no effective communication. Ann Radcliffe (1764 - 1823) once said: A well-informed mind is the best security against the contagion of folly and of vice. The vacant mind is ever on the watch for relief, and ready to plunge into error, to escape from the languor of idleness. This shows that information is the food of our minds and through it one gets knowledge for strong decision making. One of the US presidents, Jefferson once said: …were it left to me to decide whether we should have a government without newspapers or newspapers without government, I should not hesitate to prefer the latter.

Today US is the world prefect in democracy, economic, technology etc because communication and information were made very potential players in building their nation. In Tanzania Nyerere didn’t allow freedom of communication although he used media for independent struggle. Zidumu fikra za mwenyekiti wa chama na zawengine zidumae reigned the media of Nyerere Kingdom and reinforced the culture of fear among Tanzanians. Mkubwa akiongea hutakiwi kupinga.

Effective communication would allow people to make vibrant decisions through achieving sustainable development. Amartya Seni in his various studies regarding development contended that no famine has ever occurred in a country that has among others things, free media. This reflects the adage that communication is power.